New Lyrics

Aslay – Kilangakomo Lyrics

Aslay - Kilangakomo Lyrics
Aslay – Kilangakomo Lyrics

Aslay – Kilangakomo Lyrics Ah ya, ah ya

Ouh, ouuuh

ouh, ooooh

Uvivu wa kuchagua nimeula wa chuya

Nilichagua sura, wala sikujali tabia ah

Na kubwa kupungua ndipo kanijia

Mateso yake, kutwa namfikiria

Kumbe nimeuziwa mbuzi kwa gunia

Kwenye cover burger, ndani nilikuta bajia hmm

Mbona nampenda sana

Ninamlinda sana

Ananitesa jama, mama

Nahisi amechanganya, moyo unagandama

Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar

Simu ukipiga inatumika

Message anazionaga

Dhiki za blueblue zimejaa anazipitaga

Kilangakomo (hmmm), kilangakomo mwana mie

Salamu kalonga kilangakomo

Nafumba promo (hmmm), naweka mdomo itulie

(itulie itulie itulie)

Kilangakomo (hmmm), kilangakomo mwana mie

Salamu kalonga kilangakomo

Nafumba promo (hmmm), naweka mdomo itulie hmmm

Nishaga kumbana na pazi na kazi nikakosa

Baada ya kufuma message nikamiss kutomaswa

Nishagombanaga naye ni fundi wa msasa

Kapiga msasa bedi na penzi akala kabisa

Sa nikupe nini wewe malkia

Utulie kama nilivyotulia

Unataka nife siku hazijafikia
Hicho labda ndicho unasubiria hmmm

Mbona nampenda sana

Ninamlinda sana

Ananitesa jama, mama

Nahisi amechanganya, moyo unagandama

Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar

Simu ukipiga inatumika

Message anazionaga

Dhiki za blueblue zimejaa anazipitaga

Kilangakomo (hmmm), kilangakomo mwana mie

Salamu kalonga kilangakomo

Nafumba promo (hmmm), naweka mdomo itulie

(itulie itulie itulie)

Kilangakomo (hmmm), kilangakomo mwana mie

Salamu kalonga kilangakomo

Nafumba promo (hmmm), naweka mdomo itulie hmmm

 

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button