New Lyrics

David Wonder – Naenda na Yesu Lyrics

David Wonder - Naenda na Yesu Lyrics
David Wonder – Naenda na Yesu Lyrics

David Wonder – Naenda na Yesu Lyrics. Ni David Wonder yeah
(Alexis on the beat)

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

Oh nimeshaijaribu pombe
Ikafanya nikonde
Badala nisonge
Mi mfungwa hainiruhusu niende

Nikajaribu na sigara
Mapafu ikafungana
Nakohoa kohoa
Usiku mpaka mchana

Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

Watoto wako wakihesabiwa
Hata mimi ndani (Ndanii)
Nimeonja utamu wako siamini yaani (Yaani)
Nilipoteza muda mtaani majani (Jani)
Na sasa ushuhuda mpaka kwa jirani

Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

BAHATI Ft VIVIAN – NAJUA Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button