Uncategorized

DULLA MAKABILA – Nimeghairi Kufa Lyrics

DULLA MAKABILA - Nimeghairi Kufa Lyrics
DULLA MAKABILA – Nimeghairi Kufa Lyrics

DULLA MAKABILA – Nimeghairi Kufa Lyrics. Aah wanangu nimeghairi, nimeghairi
Ah jamani nimeghairi, nimeghairi
Na kwanza nimeghairi kufa
Nimeghairi kujiua nimeghairi kufa
Nimeghairi kujiua nimeghairi kufa

Kila nikiwaza kibao kata wale chura napagawa
Pengine demu wangu nazikwa wiki ijayo anaolewa
Walionibroke kila sehemu pengine ndo watalia
Alafu Fela na Tale mchango wasitoe hata mia

Hio siku wengine usoni watalia
Ila moyoni watacheka
Na media zilonibania
Ntapigwa kila dakika

Waimba singeli watatokea mpaka ambao tuna ugomvi
Nitazikwa na singeli yangu kama Kabumba na Bongo movie
Walivyoishi vizuri na Wasafi mi mpaka siamini
Eti Konde Boy kaja kuzika ila chibu haonekani

Msimu wangu nasikitika tumetulia kwa pembeni
Ukimuona Lava Lava na Mbosso Khan
Wanatongoza msibani

Mi ndo maaana nimeghairi kufa
Nimeghairi kujiua, nimeghairi kufa
Nimeghairi kujiua, nimeghairi kufa
Nimeghairi kujiua, nimeghairi kufa

Ah Mungu kwa watoto wa mjini
Kaonesha maajabu yake
Ulomnyima sura kampa shepu wakomeshe
Watoto wa mjini tunaona maajabu yake
Alomnyima sura kampa shape wakomeshe

Sepetu ana shepu yake kanionyesha we
Wolper ana shepu yake kanionyesha
We Gigy Money ana shepu yake kanionyesha we
Uwoya ana shepu yake kanionyesha

Mnadai Pierre na si aibu ndo mmemtimua
We meneja mokwapi
We kama hamtaki hasa ule mbona mlipa hela ya kulewa
Baridi tu pisi

Mia tisa tisini na tatu nipigie namba ile ile
Hela tuma kwa namba ya Lokole ndo imesajiliwa kwa kidole
Kwanza wengua kama inabana ka vipi ichane mpasuo
Kwapo ulipo simama ka vipi weka kituo
Si unajua mwenye ghetto huwaga hakosi funguo

Una hatari bwana, una hatari wee
Una hatari bwana, una hatari
Una hatari bwana, una hatari wee
Una hatari bwana, una hatari

Aah jamani chura
Anakatika mpaka anakera hakai ngezi
Ah chura huyu mtoto wa Mbagala haelewi
Anakunywa pombe mpaka sigara jamani aah

Mashalove nionyeshe uchura
Tuwatunze na hela
Nionyeshe uchura, tuwatunze

We lete chura Mbaghala
Wa mwana Nyamara au wa kinondoni, Magomeni
Walete wa mazeze, wa Temeke
Wa Ilara mpaka Mbaghala

We tingisha moja moja bwana
Bado sijaona
Moja moja bwana, na wanangu
We tingisha la kulia, la kulia
We mwanagu la kulia, la kulia

Sijaona la kushoto, we kushoto
Mwanagu kushoto we kushoto
Basi changanya changanya bwana
Na mwanangu tena
We changanya bwana bado sijaona

Changanya nione, we nione
Basi zungusha nione, we nione
Basi kiwango tuone bwana
Anaitwa Doni kiwango
Anakusalimia Dj kidogo dogo

Zoro – Ayo’m Ft Phyno, Mr Eazi, Chike & Umu Obiligbo

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button