New Lyrics

ENOS RAJI Ft GUARDIAN ANGEL – UPO Lyrics

ENOS RAJI Ft GUARDIAN ANGEL - UPO Lyrics
ENOS RAJI Ft GUARDIAN ANGEL – UPO Lyrics

ENOS RAJI Ft GUARDIAN ANGEL – UPO Lyrics. Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Tena wewe upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Na tena baba upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Bibilia inasema
Aliye na mwana hakosi ushuhuda
Mimi nasimama imara
Kwa madhabahu mwanao nikisema

Hey eeh yale niliyoyatenda jana
Kwa kweli Mola wangu umenisamehe
Nilipotoshwa na ujana
Shetani karibu animalize

Yale niliyoyatenda jana
Kwa kweli Mola wangu umenisamehe
Nilipotoshwa na ujana
Shetani karibu animalize

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Tena wewe upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Na tena baba upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

And I know, and I know
Kwamba unanijali
Yes I know, yes I know
Unanipeleka mbali

And I know, and I know
Kwamba unanijali
Yes I know, yes I know
Unanipeleka mbali

Uko baba nimekuona moyo wangu ukapona
Ibilisi akiniona inabidi anapiga kona
Najua kuna wengi wanatamani kukuona
Jionyeshe daddie wakikuona watapona

Wewe nimekuona moyo wangu umepona
Ibilisi akiniona inabidi anapiga kona
Nina imani kuna wengi wanatamani kukuona
Jionyeshe daddie wakikuona watapona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Tena wewe upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Na tena baba upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Tumepopopo, tumepopona
Tumepopopo, tumepopona
Tumepopopona, tumepopona
Tumepopopona, tumepopona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Tena wewe upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Na tena baba upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Tena wewe upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kweli baba upo upo
Unapatikana kila kona
Na tena baba upo upo
Kwa fadhili zako tumeona

Kofi Mole Ft Sarkodie & Bosom P-Yung – Makoma Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button