New Lyrics

GUARDIAN ANGEL – NADEKA LIVE (gospel experience) Lyrics

GUARDIAN ANGEL - NADEKA LIVE (gospel experience) Lyrics
GUARDIAN ANGEL – NADEKA LIVE (gospel experience) Lyrics

GUARDIAN ANGEL – NADEKA LIVE (gospel experience) Lyrics. Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better

Ibilisi ananyeta
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha
Ibilisi ananyeta
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha

Asifuye mvua imemnyea
Namsifu ju amenitendea,
Maajabu, maajabu
Ata wewe ukimkujia
Najua atakutendea
Maajabu, maajabu

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote
Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better

Mungu wangu anapenda penda penda
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka
Penda deka
Anani penda nadeka
Mungu wangu anapenda penda penda
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka
Penda deka
Anani penda nadeka

Nikimwita anacome through
Ndo maana namsifu
Maombi anajibu
Yeiiy

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote
Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better

Jah Master – Hello Mwari Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button