New Lyrics

Hamadai – Chawa Lyrics

Hamadai - Chawa Lyrics
Hamadai – Chawa Lyrics

Hamadai – Chawa Lyrics. Tumbo lasokota njaa inauma
Chakula kipi eti
Najitahidi nikutoe mawazoni mwangu
Nikusahau

Yarabi nafsi yangu juu yako
Haiambiliki
Nishajaribu na mbuli ya kukonda
Kau kau

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe
Ni sawa na kutwanga
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Ujishtukie
Ukipata visafari vyako vya usiku
Nimekurusu nenda
Wala usiwaze
Eti mpaka unipeti kwa mabusu
Aah sijali nenda
Ni kweli lauma ila nitazoea
Mi kwako kolombwe puzi lako laninogea mimi

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe
Ni sawa na kutwanga
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Dr Tumi – Udumo Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button