New Lyrics

Harmonize – Teacher Lyrics

Harmonize – Teacher Lyrics
Harmonize – Teacher Lyrics

Harmonize – Teacher Lyrics. Yaw Yaw
Hahahaaa
Jeshiiiii

Yeah
Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na viewers wakucheat
Mie jicho liko nyanya nishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtitii
Ninachojua masala huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela wala navyo vimiliki
Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderela yeye hapendagi makiki
(Onananaaa)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza
(khoooooo)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza

(Chorus)
Am your teacher
(aah)
teacher kondee
Teacher
teacher kondee

Am your teacher
teacher kondee
Teacher
(aah)
teacher kondee

(Yiiiih)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza
(khoooooo)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza
Ninachojua masala huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela wala navyo vimiliki
Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderela yeye hapendagi makiki
(Onananaaa)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza
(khoooooo)
Huu mziki nauweza nauweza kuuimba na kuucheza
Ona unavyonipendeza hadi majirani wameanza kunigeza

(Chorus)
Am your teacher
(aah)
teacher kondee
Teacher
teacher kondee

Am your teacher
teacher kondee
Teacher
(aah)
teacher kondee

(Hook)
ikakupoteka kalipambililee
mwakauanakutayunji anakutayunji
mana vantandamwi mmakonde
vanemba newala hadi kutandahimba
naikakupoteka kalipambililee

(Chorus)
Teacher
(aah)
teacher kondee
Teacher
teacher kondee
Am your teacher
teacher kondee
Teacher
(aah)
teacher kondee

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button