New Lyrics

HASSAN MAPENZI – Hawajui Lyrics

HASSAN MAPENZI - Hawajui Lyrics
HASSAN MAPENZI – Hawajui Lyrics

HASSAN MAPENZI – Hawajui Lyrics. Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio
Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio

Ndo walivyo walimwengu ndo walivyo
Ndo walivyo mama oo
Si tufanye yetu usiogope lolote
Ndo walivyo mama oo

Hawapendi kuniona niko nawe najidai ii
Nia yao tufaragane ndo wafurahi
Waja wanakaa kaa vikundi watie dosari
Labda wanatamani ije siku tuishi mbele

Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba
Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba

Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Oh penzi letu sisi, linawatoa roho
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Vijiba vya uso tunawakunga nyoo
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Hawapendi mimi kuwa na wewe
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho

Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio
Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio

Kama Milika ashashinda mikanda
Dozina kashalala
Sikudanganyi kwa kimoja kibanda
Eti nimejanga sala sala
Atu eti maisha wenyewe tumeridhiana
Mola akipenda siku zijaje twaoana

Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba
Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba

Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Oh penzi letu sisi, linawatoa roho
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Vijiba vya uso tunawakunga nyoo
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho
Hawapendi mimi kuwa na wewe
Wanaumia wanaumia, wanaumia wanaumia roho

Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio
Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio

Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba
Hawajui kwa wewe ndo mama
Mi kwa wewe ndo baba

Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio
Hawajui we ndo wife material
Nisipokuona kwangu ni kilio

NANDY Ft JOEBOY – Number One Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button