New Lyrics

HEMEDY PHD – Lawama Lyrics

HEMEDY PHD - Lawama Lyrics
HEMEDY PHD – Lawama Lyrics

HEMEDY PHD – Lawama Lyrics. (Gerry on the beatz)
Haa haiya, haa haiya
Haa haiya….

Ulisepa mara ya kwanza
Nikakwambia rudi home
Ukataka sepa tena
Nikasema tulia home wewe mmh

Ukasepa mara ya pili
Ukazidi niumiza roho
Nikapiga goti pako
Mama nakuomba urudi

Hautaki, haunitaki tenaa
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee

Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa…

Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah

Umenivuruga akili
Umeniacha buba katili
Moyo umeukoroga dhahiri iyee
I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah

I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah

Baby haujui haujui
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni?
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee

Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa…

Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah

I don’t wanna see you
With nobody, nobody no
Nobody iyee
I don’t wanna see you
With nobody

 

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button