New Lyrics

KAYUMBA – Chunga Lyrics

KAYUMBA - Chunga Lyrics
KAYUMBA – Chunga Lyrics

KAYUMBA – Chunga Lyrics. Iyee iyee iyee
Mi nilidhani mwenzangu una mie
Utanitunza kwa shida na raha
Aibu yetu ya kwako na mie
Isili yetu isivunde chang’aa

Ah mimi na wewe si wa kutupia vijembe
Tushakuwa watu wazima
Kwanza jielewe tazama nyuma na mbele
Bila daftari utapotea shirima

Mwenzako mi muungwana
Si mshamba wa mapenzi
Ni kawaida tu kukosana
Na si kuleta uchochezi

Mwenzako mi muungwana
Si mshamba wa mapenzi
Ni kawaida tu kukosana
Na si kuleta uchochezi

We mwana washa moto (Chunga chunga)
Usichochee makaa (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usifufue balaa (Chunga chunga)

Usiwashe moto (Chunga chunga)
Usichochee makaa (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usichochee balaa (Chunga chunga)

Maji mkononi huwezi kuyashika (Shika)
Na mi mwanadamu si malaika (Ika)
Kabla hujafa hujaumbika
Nitunzie madhaifu yangu oooh

Penzi lilinikaba kama tai
Japo uliniahidi mi nawe till I die
Penzi ukalimwaga kama chai
Nami nazima data hadi WiFi

Mwenzako mi muungwana
Si mshamba wa mapenzi
Ni kawaida tu kukosana
Na si kuleta uchochezi

Ooh mwenzako mi muungwana
Si mshamba wa mapenzi
Ni kawaida tu kukosana
Na si kuleta uchochezi

We mwana washa moto (Chunga chunga)
Usichochee makaa (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usifufue balaa (Chunga chunga)

Usiwashe moto (Chunga chunga)
Usichochee makaa (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usichochee balaa (Chunga chunga)

We mwana washa moto (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usiwashe moto (Chunga chunga)
Tukutane salama mimi na wewe (Chunga chunga)
Usichochee balaa (Chunga chunga)

Chunga chunga, chunga chunga
Chunga chunga, chunga chunga
Chunga chunga, chunga chunga
Chunga chunga, chunga chunga

(Mafia)</p

B Red Ft Davido – Bimpe Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button