New Lyrics

Kusah Ft Barnaba – Nibebe Lyrics

Kusah Ft Barnaba - Nibebe Lyrics
Kusah Ft Barnaba – Nibebe Lyrics

Kusah Ft Barnaba – Nibebe Lyrics Mmmh uyee, ulalala uyee
Mmmh mmmh
(Mafia)

Labda mbingu na dunia
Vije vishikane wabadili mchana
Uwe usiku wa manane

Wakitaka tuachane
Watupige mapanga
Baby tufe tuzikane

Si unajua nakujua
Sasa Walimwengu
Mimi wataniambia nini?

Na wakitaka kukuambia
Waambie baby we ndo unanijua mimi
Na vile vipengele si ungehama

Ningeingia maji ningezama
Walikuvua nguo ukachutama
Ukasema huniachi ukang’ang’ana
Na mimi ee

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala
Basi nibebe nibebe (Unibebe)
Nibebe nibebe (Ah nimechoka)
Basi nibebe nibebe
Mmmh unibebe nibebe

Unibebe nibebe nibebe
Kwa kila hali nibebe
Wambea hawaishi maneno nibebe
Nibebe, nibebe nibebe

Nawaza nikutunukie tuzo
Tumeshinda vikwazo tangu mwanzo
Si rahisi mami love
Kushindania umaneno

Wanatamani nikudharau
Niseme nimepanda dau
Kisa nikusahau wewe

Wangemiliki mbuga
Wangeshatufukuza
Kama wanyama ndege

Tule mihogo tule dagaa
Ugali wa kuchoma na vinguruka
Tuishi vile tunavyotaka
Binadamu hatuwezi kuwaridhisha

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari
Tucheze hakuna dosari
Tena hakuna kujali
Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari
Wapambe wakae mbali
Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala
Basi nibebe nibebe (Unibebe)
Nibebe nibebe (Ah nimechoka)
Basi nibebe nibebe
Mmmh unibebe nibebe

Unibebe nibebe nibebe
Kwa kila hali nibebe
Wambea hawaishi maneno nibebe
Nibebe, nibebe nibebe

DJ Khaled Ft Drake – POPSTAR Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button