New Lyrics

Lulu Diva – Hauna Maajabu Lyrics

Lulu Diva - Hauna Maajabu Lyrics
Lulu Diva – Hauna Maajabu Lyrics

Lulu Diva – Hauna Maajabu Lyrics. Unatutambia wakati
Shemeji yetu anatuambia (Hauna maajabu)
Unataka bia wakikutoa out unasinzia
(Hauna maajabu)

Tulishabwaganaga lakini bado unaniongelea
(Hauna maajabu)
Unaganda ganda watu kama siris za kikororea
(Hauna maajabu)

Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Viuno vingi ukiwa club
Ukirudi ndani (Hauna maajabu)
Dada wa mjini kutwa unadanga
Unalala chini (Hauna maajabu)

Nawe jomba unapewa bure
Kufika ghetoni (Hauna maajabu)
Noma sana baby kaagiza
Kucheki mfukoni (Hauna maajabu)

Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Pisi kali una sura nzuri
Ukigeuka nyuma (Hauna maajabu)
Una hela unashinda gym
Kubeba vyuma (Hauna maajabu)

Hauwezi kupost bila filter
Coz unajijua (Hauna maajabu)
Wakidosoa wanapita
Si wanakujua (Hauna maajabu)

Hauna maajabu mama
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu baba eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Hauna bababa
Hauna maajabu (Hauna maajabu)
Hauna maajabu eeh
Hauna maajabu (Hauna maajabu)

Mohbad x Naira Marley x Lil Kesh – Ponmo Sweet Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button