New Lyrics

Marioo – Unanionea lyrics

Marioo - Unanionea lyrics
Marioo – Unanionea lyrics

Marioo – Unanionea lyrics Hivi kweli yupo mwenye roho mbaya kukushinda…

Maana mi sijaona duniani

Hivi kwel yupoooo aso na haya kukushinda…

Maana me sijaona sijaona!

We mtu gani uko radhi mwenzako ateketee

Wakati unajua dawa yake ya kumponya nihurumie.

Ama mtu gani aliefika akaongeza makeke

Na wakati anajua me kwako ndo napona anihurumie

Me najuaaa mapenzi sio kwichikwichi tu.

Yanayonoyaga mazoea nimekuzoea Mmmh mmh!

Unanionea. Mwenzako siwezi matukio mazito

Unanionea. Unayonipiga mieee eeh

Unanionea. Unafanya niamini mapenzi mabaya

Unanionea. Lololoooo iyeee!

Na kama kuachana nimekubaali saa fanya yako

Ila sio lazima unioneshe uniumizee!

Au kisa unajua unaniacha bado nakuhitaji

Ndo unaona bora unikomeshe unilizee eeh!

Aah poa poa nishajua uya utamu vinakuaga uya uchungu.

Ili aloa aloa milima haikutaani.

Japo najuaaa mapenzi sio kwichikwichi tu.

Yanayonogaga mazoea nimekuzoea Mmmh mmh!

Unanionea. Mwenzako siwezi matukio mazito

Unanionea. Unayonipiga mieee eeh

Unanionea. Unafanya niamini mapenzi mabaya

Unanionea. Lololoooo unanionea!

Unanionea bure ehh!

Lololoo!

Hataa bonga anajua unanionea

Chino anajua unanionea!

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button