New Lyrics

Moji ShortBabaa Ft. Guardian Angel – Mazuri Lyrics

Moji ShortBabaa Ft. Guardian Angel - Mazuri Lyrics
Moji ShortBabaa Ft. Guardian Angel – Mazuri Lyrics

Moji ShortBabaa Ft. Guardian Angel – Mazuri Lyrics Najua mimi najua
Nitaona mazuri
Najua mimi najua
Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri
Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri

Na sufuria zangu
Lazima zitapika nyama siku moja
Na hii mikono yangu
Lazima iendeshe gari siku moja

Na hii miguu yangu
Lazima ikanyage ng’ambo siku moja
Na majirani zangu
Lazima wataniheshimu siku moja

Kuna vile vitu zitakuwa better one day
Nipate furaha ka smile ka better one day
Wazazi wa bibi wamepanga kaende
Life yangu iko dry rafiki zangu ni mende

Bora imani yangu isimame (Isimame)
Nitaona mema si hasara (Hasara)
Bora imani yangu isimame (Isimame)
Nitaona mema si hasara

Hata kama (Kama) mazuri yote sitayaona hapa
Najua, najua siku moja nitamuona Baba
Hata kama (Kama) mazuri yote sitayaona hapa
Najua, najua siku moja nitamuona Baba

Najua mimi najua
Nitaona mazuri
Najua mimi najua
Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri
Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri

Maombi yangu anayasikia
Nina imani atanijibia
Walionicheka na kunichukia
Nitashinda watashangilia

Maombi yangu anayasikia
Nina imani atanijibia
Walionicheka na kunichukia
Nitashinda watashangilia

Ooh na jina
Atanibadilisha jina
Eeh Jah na hekima
Anipe bila kupima

Na walionisaliti nikae nao fiti
Hilo ndio ombi langu
Eey ninao marafiki anipe wafiti
Hilo ndio ombi langu

Hey mazuri, mazuri
Nitaonana hey
Hey mazuri, mazuri
Nitaonana hey

Najua mimi najua
Nitaona mazuri
Najua mimi najua
Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri
Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri

Najua mimi najua
Nitaona mazuri
Najua mimi najua
Nitaona mazuri

Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri
Mazuri, mazuri aaah
Nitaona mazuri

Eh mazuri yeah yeah yeah
Eh mazuri yeah yeah yeah
Mazuri yeah yeah yeah

Nitaona, nitaona ah ah
Nitaona, nitaona ah ah
(Mazuri)

JOVIAL Ft MEJJA – Pakua Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button