New Lyrics

Motra The Future Ft Idris sultan and Damian Soul – Masihara Remix Lyrics

Motra The Future Ft Idris sultan and Damian Soul - Masihara Remix Lyrics
Motra The Future Ft Idris sultan and Damian Soul – Masihara Remix Lyrics

Motra The Future Ft Idris sultan and Damian Soul – Masihara Remix Lyrics Kimambo on the beat

Man unagaa gaa na upwa
Unazagaa zagaa kama umbwa
Msukule unagaa gaa na pumba
Utajiri wa mdomo huna hata ka-chumba

Unataka mchumba, vipi utahudumia?
Huna hata mavumba, huna hata matunda
Sa’ wazazi watakula nini, sijui mimi
Nakuwazia utajibu nini kwa Muumba

Watoto wa Mungu
Hatukwami hatufeli
Hatuzami
Hata kama tupo katikati feli

Bado tunakiwaza hadi sheli
Na baraka za mitaa
Ndio taa ya kufanya kweli

Si masihara mpaka zulu sema yebo
Mitaa imekubali mmoja anasema let’s go
Msanii mkubwa enter source kama label
Na leo tupo zetu bata point hapa rainbow

Wanahofia nikija
Nawakimbiza
Nami kila nikija
Nawakimbiza

Tunang’aa kwenye radio na TV
Bila masihara
Hawapendi kuniona nipo hivi
Kwa roho zao mbaya

Mi nang’aa kwenye radio na TV
Bila masihara
Hawapendi kuniona nipo hivi
Kwa roho zao mbaya

Idris Sultan
Mmmh! hampati na natesa
Uko wapi wewe ambaye ulikuwa unateta
Ulitabiri huu ni mwisho wangu wa kusepa
Nikiwepo tu unacheka
Nikiondoka unaniteta

Kiti changu hakikaliwi
Kiatu changu hakivaliwi
Tena nawe bishoo
Ambaye hung’ai bila Kiwi

Unayekesha kumwomba
Mungu mbona sifiwi
Star ambaye hata ukienda coco
Na mguu haushangiliwi

Mwanaume umekazana my my
Mwanaume mzima spy why
Hizi mambo nini shy shy
Mi ni mbaya hadi sifai-fai
Nimeshakuja fala bye bye

Naperuzi bila bundle, we jua mjini mipango
Hichi kipara sikupewa tu kama ni pambo
Acha nifunge magoli yangu usinipangie kiwango
Wakati nakuja mjini kwani ulinipatia mchango

Wanahofia nikija
Nawakimbiza
Nami kila nikija
Nawakimbiza

Tunang’aa kwenye radio na TV
Bila masihara
Hawapendi kuniona nipo hivi
Kwa roho zao mbaya

Mi nang’aa kwenye radio na TV
Bila masihara
Hawapendi kuniona nipo hivi
Kwa roho zao mbaya

Bila masihara
Roho zao mbaya

Jahmiel – Hold A Vibe lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button