New Lyrics

Muziika Online & VDJ Jones Ft Angry Panda x Dmore x Wakali Wao x VJ Chris – Kwa Kwa (TwaTwa) Lyrics

Muziika Online & VDJ Jones Ft Angry Panda x Dmore x Wakali Wao x VJ Chris - Kwa Kwa (TwaTwa) Lyrics
Muziika Online & VDJ Jones Ft Angry Panda x Dmore x Wakali Wao x VJ Chris – Kwa Kwa (TwaTwa) Lyrics

Muziika Online & VDJ Jones Ft Angry Panda x Dmore x Wakali Wao x VJ Chris – Kwa Kwa (TwaTwa) Lyrics. Ni genje ni mbwaya (Chu chuu)
Ah wah yu say (Chu chuu)
Angry Panda aaiii
(Jack Jack on the beat)

Mi hufogotha watu na vitu jo wanaku
Na zangu zikishika zinaoneshanga ma twa twa
Napenda mangoko wamebeba manyaku
Narorosa kengine kakuwe goshodo wakwa

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Zishanishika nikapata alipika mbete
Nikapiga kwanza sekete na ngwete
Alafu nikatoa tenje nikapigia madenge
Akanionyesha Corona ikidai ni kifanje

Kusema nitulie jirani akaanza kelele
Kucheki rada gani napata kumbe ni lele
Nikajipin dembe zikaniweka lembe
Nikafika kwake napata nishamea pembe

Akaanza na masharti ati nitoe shati
Apo rada safi nikakula ka mlafi
Kidogo tunabishiwa bana kwani ni nani
Nagutuka ni budake na yukuwaga mrazi

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Umenikodolea macho ah katoto
I swear na niko single
Mi sidai hizo vako zako za kujingle jingle
Na kumingle

Mi nadai nikukembe nikudare
Hadi uwike ka mukorino
Mi sijali nachoma photo
Ata kama wako kijicho

Alifanya gwiji
Kapatana na biggy
Katoka kijicho
Maisha yolo yolo
Na yellow yellow
Ma yoh yoh, ma yoh yoh

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Labda nianze na we kwanza
Tena ndo upike lunch
Naju tuko me and you
Sapa tutajimenu

Chana kamenise unaeza kapoa na shuka
Sina pesa ya salon usimind nitakusuka
Alafu ka sunset kwa dirisha tukule kapicha
Na mahaters niwang’ore mastories na status

Twa Twa napiga yaani Twa Twa
Niko On na saa tano ndo nimetema jaba
So cheza kiwewe dance kiwewe
Ju ni mi na wewe tucheze hadi mulembe aiii
Twa Twa napiga yaani Twa Twa
Kutekwa kuseswa kidogo ni kutokwa

Cheki mi huskia Njoki anatakaga za mababi
Za mabobo manigga ma yoh wangati
Ganja farmer warasta pia wanati
Masponyo wadonga wako na vitambi

Mistari kuwasuka nikiongeza methali
Nachanganyisha kighetto nikibonga kilami
Kwa shingo 9-2-5 kuwakunywa na mali
Mali safi iende chain kama shashamanii

Ni mimi na yeye na mimi
Kumshikanisha kama meno na ulimi
Namgeuza miguu yaani juu chini
Napiga Twa Twa ka msee amejipini

Mi hufogotha watu na vitu jo wanaku
Na zangu zikishika zinaoneshanga ma twa twa
Napenda mangoko wamebeba manyaku
Narorosa kengine kakuwe goshodo wakwa

Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Na ni ma twa alafu ni ma kwa kwa
Kusukwa kuseswa alafu tu kutokwa

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button