Nandy Ft Billnass – Do me Lyrics
Nandy Ft Billnass – Do me Lyrics. Chocolate kalambaje?
Na hata sielewi kanipata pata
Kwani kanipata aje
Ameniweza weza nimenata nata
Kwa penzi nakupenda
Na nashindwa kukukata
Ndo ujinga huo
Umeniweza weza
Umenipa limbwata
Ndo nini hivyo
Ukinipata penzi basi zima data
Ndo chips hizo
Na vinyama nyama pilipili washa
Ndo tamu hivo
Baby walahi
Do me, do me, do me
Do me, do me, do me
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni
Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni
Nafikiri uliumbwa
Kwa ajili yangu mahususi
Na kila Nikikutazama
Nafaa nifikirie harusi
Nafiki kutumia shela
Nafikiri kuhusu suti
Sifikirii kutumia kinga
Hata waseme una virusi
Viuno vingi kama Christian Bella
Peace ya msela
African princess na ndela
Hata warika na mapunga waje kula mchele
Si wanatoa siri za nyuma twawapa siti za mbele
Mapigo mama yanakwenda mbio
Nisamehe kama napokwona sio
Mapigo mama yanakwenda mbio
Nisamehe kama napokwona sio
Vile kata, kata ukapinda mgongo
Uliposema tangu ukawachanganya wabongo
Vile sikupakii mkenya wala sikupakii mcongo
Labda arushe matofali maana nishazoea udongo
Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni
Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni