New Lyrics

NINO TZ Ft YOUNG KILLER – NyaNya Lyrics

NINO TZ Ft YOUNG KILLER - NyaNya Lyrics
NINO TZ Ft YOUNG KILLER – NyaNya Lyrics

NINO TZ Ft YOUNG KILLER – NyaNya Lyrics. Ah baby nya nya nya
(Dapro on the)

Huh kama umekula raha baby, zima taa baby
Mwenzio nina njaa nipoze na joto la Dar baby
Ukiskia shaa baby, ujue kashaa baby
Yuko ndichi so kifuatacho furaha baby

Inuka unishike kifua
Vuta unachoweza chukua
Kumbuka unavyobinua mgongo unasasambua
Bongo nawaza pure, mchongo ni mi kuwa na wewe milele
Udongo ukinichukua

Huh nimesahau shida mamacita
Mashini mpaka muda wa kupika
Usiku mpaka jogoo linawika
Mikunjo kwa wima ni patashika
Yaani pilika pilika
Bilinge bayoyo asijewika

Sasa nipe yote yote sikukinai
Nikope hadi moyo sitokudai
Nimekuta embe kwenye mpapai
Na ni nyaku

Leta nikuangulie
My baby nya nya nya
Leta nikuangulie
My baby nya nya nya

Mwili mawazo vipo kwako darling
Hata usiponirudisha shwari
Niwe mfungwa wako nimekubali
Wakija na dhamana usikubali

Nitatumikia penzi lako hunnie
Ila shifti mi siwezi
We ndo chombo yangu hunnie
Malift mi siwezi

Haipiti siku nisifikirie
Mi nisharogeka my love
U– ni kwao lile
Kubali nakupenda my love

Sasa nipe yote yote sikukinai
Nikope hadi moyo sitokudai
Nimekuta embe kwenye mpapai
Na ni nyaku

Leta nikuangulie
My baby nya nya nya
Leta nikuangulie
My baby nya nya nya

Mohbad x Naira Marley x Lil Kesh – Ponmo Sweet Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button