New Lyrics

RONZE Ft AMBER LULU – Kwa Jana Lyrics

RONZE Ft AMBER LULU - Kwa Jana Lyrics
RONZE Ft AMBER LULU – Kwa Jana Lyrics

RONZE Ft AMBER LULU – Kwa Jana Lyrics. Gari lipo mafuta full sa tuende wapi?
Kule kule kwa jana
Mnaniomba lifti nikupeleke wapi?
Kule kule kwa jana

Sasa mbona nayumba nilikunywa wapi?
Kule kule kwa jana
Pembeni nina bonge ya pisi imetoka wapi?
Kule kule kwa jana

Eti unanipitisha mbona kuna matope
Mfukoni una pesa eti oh ni utoke
Hata nikiwa kwa kulala
Si nina mikambi popote
Iwe basikeli hata mguu
Mi nataka tu utoke

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana

Pati we papati, leo ghetto kuna party
Wametupikia chapati na mchuzi kaimati
Pati we papati, tusivutane mashati
Ingia ucheze katikati, kuna huku leo wapi

Hata nikicheza nibambie shemu, mbona pambe
Na ikiniweza nimpatie game, yaani pambe
Eti mimba ya Uchebe tumpee majani, mbona pambe
Yaani kaniganda vile kile sehemu, yaani pambe

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana
Kule kule kwa jana

Waboba waboba, wanatuekea kikati
Tuzunguke kushoto, tuzunguke kulia
Wa wa wahuku, wa wa wa kule
Wa wa wahuku, wa wa wa kule

Lexsil Ft Otile Brown – Remedy Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button