New Lyrics

SAI KENYA – UNABOA Lyrics

SAI KENYA - UNABOA Lyrics
SAI KENYA – UNABOA Lyrics

SAI KENYA – UNABOA Lyrics Shirko Media

Najibiwa sometimes, unaniona nina gubu
Naona bora ninyamaze tu niwe mjinga
Sioni baya sisemi, nishaamua kuwa bubu
Mnyonge ninyonge haki iwe kinga

Moyo unakukataa
Saa nyingine unakukubali
Japo unanitenda, unanitesa
Tu navumilia

Wivu sijakataa ninao
Kweli nakubali
Yote kisa nakupenda
Ndio maana nalia

Hauna muda na mimi
Kwako mpira muhimu
Utadhani unalipwa
Kwani we Ferguson?

Mchafu wako oilini
Mwepesi kunihukumu
Bize bize kutwa
Kama malaika wa motoni

Hata hufanani na kiburi
Unaboa, unaboa
Hujawai nisifu mimi mzuri
Unaboa, unaboa

Mataani na mimi ndo sifuri
Unaboa, unaboa
Wenzangu unawaita vituyuri
Unaboa, unaboa
Tamu yangu nini?

Natamani siku nami niulizwe hali yangu
Nisiishie kuyaona mazuri tu kwa wezangu
Kukwepa mawazo na kukesha twendeni mwangu
Ningejaliwa mtoto ningecheza na mwanangu

Nahitaji, leta kitendo
Japo nipigie, leta kitendo
Usinikimbie, leta kitendo
Nisije…

Basi nishtukie, leta kitendo we
Usininunie, leta kitendo
Penzi nihurumie, leta kitendo
Nahisi kukuona mpenzi

Hauna muda na mimi
Kwako mpira muhimu
Utadhani unalipwa
Kwani we Ferguson?

Mchafu wako oilini
Mwepesi kunihukumu
Bize bize kutwa
Kama malaika wa motoni

Hata hufanani na kiburi
Unaboa, unaboa
Hujawai nisifu mimi mzuri
Unaboa, unaboa

Mataani na mimi ndo sifuri
Unaboa, unaboa
Wenzangu unawaita vituyuri
Unaboa, unaboa

Hata hufanani na kiburi
Hujawai nisifu mimi mzuri
Mataani na mimi ndo sifuri
Wenzangu unawaita vituyuri

Tamu yangu nini?

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button