New Lyrics

TundaMan – Chozi Lyrics

TundaMan - Chozi Lyrics
TundaMan – Chozi Lyrics

TundaMan – Chozi Lyrics. Wanawake mna mioyo
Tena ya uvumilivu
Mwanamke akipenda
Anabeba makali maumivu

Hata kama ukimtenda
Mwenzako moyo wake unavumilia
Anaweza kakuchekea
Kumbe moyoni anaumia

Penzi ni kama siti la basi
Ukitoka wenzako wanajinafasi
Usiombe mwanamke aseme basi
Kamwe hawezi kukuridia

Mwanamke akipenda
Anapenda kiukweli na haigizi
Anaridhika na mmoja alonae
Hana tabia za wizi wizi

We la mwanamke chozi (Chozi)
Ah lichunge lisidondoke (Chozi)
Ah lidhamini chozi (Chozi)
Ah lichunge lisidondoke (Chozi)

Mwanaume lijali anajishusha
Hata kama kosa sio lake
Mwanaume hafai kukurupuka
Kosa kuwapiga wanawake

Ah Uchebe, mwanaume kujiamini
Kuwa na piece moja ya kuaminia
Usiwe kama Almasi
Anawazalisha anawakimbia

Bora uwe ma J
Kamvisha pete hamuoi haongei
Lulu kama kelele husogei
Dakika tisini mechi kali hukosei putululu

Mwanamke akikuvulia na akikununia
We hela inatosha
Ogopa sana akikununia
Na akikwambia we inatosha

We la mwanamke chozi (Chozi)
Ah lichunge lisidondoke (Chozi)
Ah lidhamini chozi (Chozi)
Ah lichunge lisidondoke (Chozi)

Akikasirika we mbembeleze, yeiye mbembeleze
Akikasirika we mnyengeze, we mnyegeze
Eeeh we mbembeleze, ayaa we mdekeze

TRIO MIO – Cheza Kama Wewe Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button