New Lyrics
Young Lunya – Announcement Freestyle Lyrics
Young Lunya – Announcement Freestyle Lyrics Tatizo ni pale ambapo ananiona
Na wana kibao utadhani ni jeshi
Nakuaga na piece kazi yao ni kucheka
Hata kama kuna kitu hakichekeshi
Unajitangaza una beef na mimi
Wakati level zako za kina Tekashi
Vijembe vyenu havinikondeshi
Nishawalenga na huwa sikopeshi
Wats poppin?
Ona kama vile ukikaa kwenye beat haunati
Mbona naskia mtaani kwako we ni bonya
Unakaaga na piece na ung’ati
Pia nimesikia we ni msee
Wa kugongea gongea beat au bati
Bahati haupati nakuwaga na manoti
Kama vile niko team ya Hush Puppy