New Lyrics

ANISET BUTATI Ft JESSICA (J SISTERS) – Usinikumbushe Remix Lyrics

ANISET BUTATI Ft JESSICA (J SISTERS) - Usinikumbushe Remix Lyrics
ANISET BUTATI Ft JESSICA (J SISTERS) – Usinikumbushe Remix Lyrics

ANISET BUTATI Ft JESSICA (J SISTERS) – Usinikumbushe Remix Lyrics. Najua unajua maisha yangu
Tazama
Tena naelewa unajua kule nilikotoka
Rafiki yangu we

Najua unajua maisha yangu
Tazama
Tena naelewa unajua nilikotoka
Rafiki yangu we

Usiyafanye maisha yale ya zamani
Yawe Ni fimbo unichapie
Usiyafanye maisha yale ya zamani
Ywe Ni hukumu unihukumu

Usiyafanye maisha yale ya zamani
Yawe Ni fimbo unichapie
Usiyafanye maisha yale ya zamani
Ywe Ni hukumu unihukumu

Mungu amesema ameshayasahau
Mungu amesema hatayakumbuka
Mambo yangu ya zamani ameshayasahau
Uovu wangu wa zamani hataukumbuka

Hata kama unajua nilikuwa ni msinzi ndio
Usinikumbushe, Mungu ameshanipokea ah
Imebaki story

Ni ukweli unajua nilikua mlevi nalala bar
Usinikumbushe Mungu ashanipokea
Imebaki Ni story

Ni ukweli unajua nilikua nafanya dhambi
Usinikumbushe Mungu ashanipokea
Imebaki Ni story tu

[Jessica, Jsister] Mambo yangu ya zamani yasikuchukue muda aah
Yatakuchelewesha rafiki yangu we
Mambo yangu ya zamani yasikuchukue muda aah
Yatakuchelewesha rafiki yangu we

Wakati uko busy kusema yule alikuwa mzinzi
Mimi niko busy na Mungu wangu
Wakati uko busy kusema yule alikuwa mlevi
Mimi niko busy na Mungu

Natafuta uwepo wake Mungu
Natafuta nguvu zake
Natafuta ufalme wake
Natafuta jina lake Mungu

Na Mungu anasema ameshayasahau
Mungu amesema hatayakumbuka
Mambo yangu ya zamani ameshayasahau
Uovu wangu wa zamani hatoukumbuka

Hata kama unajua nilikua sio mwaminifu
Usinikumbushe, yamepita haya
Imebaki story

Hata kama unajua nilikua mzizi ndio
Usinikumbushe huyu Yesu ashanipokea
Imebaki Ni story tu

Ni kweli unajua nilikuwa nafanya dhambi sana
Usinikumbushe, ameshanipokea
Imebaki story

Hata kama unajua nilikua mvutaji bangi
Usinikumbushe
Imebaki story

Eeeh Baba
Eeeeeh Mungu
Asante Yesu

Zuchu Ft Diamond Platnumz – Litawachoma Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button