New Lyrics

B Classic 006 – Hali Yangu Lyrics

B Classic 006 - Hali Yangu Lyrics
B Classic 006 – Hali Yangu Lyrics

B Classic 006 – Hali Yangu Lyrics. B Classic, 006
Na hali ya jana sio sawa na leo
Mwenye mali namuona daily kwa video
Ama ndio tuseme nyota yangu haijang’aa
Na riziki zangu zote zimekataa

Kuomba omba ee daily kama kichaa, ndo sana
Na sio kama naipenda hio hali naichukia
Kamoyo kukaeka hadharani
Hadi huruma, mie mnyonge kimapato
Na sina lolote elimu yangu kikwazo
Ninazidisha mikosi

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Mbele za watu ninanuka
Napopita pita kwa maduka
Hata salamu wanakwepa
Ati kisa mambo hayajajipa

Nimebaki mpweke sana
Akili pia imevurigika
Nimejikita kwenye sanaa
Nione kama mambo yatajipa

Maana sielewi na tumbo linadai kila siku
Na kuna wengi wameshadai huruma hakuna
Majalala ndo nyumba zetu tumeshazoea
Kama mabadiliko sio sana
Hosana tunamuomba ee

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang’ara
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button