New Lyrics

Belle 9 – Asante Lyrics

Belle 9 - Asante Lyrics
Belle 9 – Asante Lyrics

Belle 9 – Asante Lyrics. Asante, asante
Asante Baba we Baba
Asante, asante
Asante Baba we Baba

Nasema asante asante
Thank you God (Thank you God)
We Baba

Walichomoa betri moto ukalipuka
Idadi kubwa mauti yaliwakuta
Mimi ni nani? Ah ah ni nani aah

MV Nyerere watu hawakuvuka
Walizama mwisho ukawafika
Sisi ni nani? Mmmh Aah ni nani?

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Hukutaka niteketee
Ukanivusha niendelee
Wewe ni wa pekee nini nikupe eeh
Aah kitushe eeh
Kwa wazazi kwa mafans marafiki
Ulifanya wasilie eeh eh eeeh…

Asante, asante
Asante Baba we Baba
Asante, asante
Asante Baba we Baba

Nasema asante asante
Thank you God
Mmmh we Baba

Hata umiliki pesa mali
Toka msingi sekondari
Anatulinda mpaka uzee
Na hahitaji chochote

Baraka zinaanzia kwake
Wapo waliokukosea wasamehe
Hatujakamilika sote tunapita

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Hukutaka niteketee
Ukanivusha niendelee
Wewe ni wa pekee nini nikupe eeh
Aah kitushe eeh
Kwa wazazi kwa mafans marafiki
Ulifanya wasilie eeh eh eeeh…

Asante, asante
Asante Baba we Baba
Asante, asante
Asante Baba we Baba

Nasema asante asante
Thank you God
Mmmh we Baba
Thank you for everything

LARRY GAAGA Ft UMU OBILIGBO x DAVIDO – Doubting Thomas Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button