New Lyrics

Billnass – Deka lyrics

Billnass - Deka lyrics
Billnass – Deka lyrics

Billnass – Deka lyrics Uuuh uuh

Yeah Yeaah

Hehe S2Kizzy on the scene

Ooh

(My dete tuma tuye

My dete tuma tuye)

Oh nakuvizia tukeshe nasubilia tutete

Nakuvisia tusepe napulizia Mtete

Watakususia mkweche Nitakuzugia na pete

Si unajua vile mi niko hoi hali tete

Wapo walosema kwamba sipigi show
I wish you know wasikushawishi doo

Habari zao zakua, sitishi hivyo

Charge empty kila suka yani baterry low

Aah leo una vibe tukale fresh juice

Mi mgonjwwa we tabibu njo unitibu one stress nice

Nitakuwa mjinga niki messi messi

Ulikua nami toka sina kitu

enzi napiga deshi deshi

Me sijaambiwa nikwambie

Ila moyo utani-tetereka

Ukiwa mbali na mie
Upweke uta nitetemesha

Furaha yako niachie, hiko mikono salama deka mmh

Utakacho niambie ohh baby

Tekuma tekuma deka

Tekuma tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)

Tekuma tekuma deka

Tekuma tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)

Aaah don’t let them fool you (fool you)

Kisa umenipenda mimi huyu (huyu)

Mapenzi ya dhati na hiisa ulikwa nayo toka kitambo

Na mengi uka hadithia, tunawezaje ikawa mipango

Since day one niko na plan kichwai

Nimilki mjengo na bonge la wife kwa ndani

Why so utani wife waku vibe kanisani

Sio yule wife wa stamina alisepa nyumbani

Mapenzi ni yetu yetu, na sisi kiviyetu vyetu

Yani kama chuga baridi yetu yetu

Me sijaambiwa nikwambie

Ila moyo utani-tetereka

Ukiwa mbali na mie

Upweke uta nitetemesha

Furaha yako niachie, hiko mikono salama deka mmh

Utakacho niambie ohh baby

Tekuma tekuma deka

Tekuma tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)

Tekuma tekuma deka

Tekuma tekuma deka (Deka ukiwa na mimi tu)

Oooh ooh (Deka ukiwa na mimi tu)
Oooh ooh (Deka ukiwa na mimi tu)

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button