New Lyrics

Maua Sama Ft Jaivah – BINUA Lyrics

Maua Sama Ft Jaivah - BINUA Lyrics
Maua Sama Ft Jaivah – BINUA Lyrics

Maua Sama Ft Jaivah – BINUA Lyrics Dance kidogo
I say dance kidogo
Oya dance kidogo
Dance kidogo

Ile ngoma ndo hii
Ya kukamatana ya kukamata
Ile TBT twazichana chana
Twazichana chana

Body mwagika kama mchele
Ooh yeah yeah yeah
Putu putu wanaruka kama mshale
Ooh yeah

Kama mlenda kiuno laini laini
Tena kama chiba, ehee ahaa
Tuu tuliza, tulizi tulizana
Zii zima taa, hatuhitaji kuonana

Tuliza, tuliza boli tuliza
Kama mashetani pandisha
Pandisha mori pandisha
Nimekuja na ubani twende

Haa! Watapata tabu sana
Tena watahanya hanya
Vya kutafuna watamung’unya
Ngoma na isome iyo

Eh sasa binua, binua
Binua chekecha binua
Binua, binua
Binua chekecha binua

Sasa chekecha, chekecha
Chekecha binua chekecha (Mautundu)
Chekecha, chekecha
Chekecha binua chekecha (Mautundu)

Washachelewa chee
Bei zao bei za che
Hawatoweza ata punje
Bei zao bei za che

Oyaa, noma sana
Si tumebarikiwa na Maulana
Watatukana na tunachanja njia
Wataungama

Matunda yameshaiva
Mwanga umewaka kwa kiza
Wanangu nyie mnaonaje?
Mnatubamba ile mbaya

Nesa nesa, deka deka
Ruka ruka, ngoma ikikukoleza

Tuu! Tuliza
Tulizii, tulizana
Zii zima taa
Hatuhitaji kuonana

Tuliza, tuliza boli tuliza
Kama mashetani pandisha
Pandisha mori pandisha
Nimekuja na ubani twende

Haa! Watapata tabu sana
Tena watahanya hanya
Vya kutafuna watamung’unya
Ngoma na isome iyo

Eh sasa binua, binua
Binua chekecha binua
Binua, binua
Binua chekecha binua

Sasa chekecha, chekecha
Chekecha binua chekecha (Mautundu)
Chekecha, chekecha
Chekecha binua chekecha (Mautundu)

Eh mwacheni yamepanda (Yamepanda)
Tyson kang’atwa na Evanda
(Eeh! Kang’atwa na Evanda)
Anataka kuivua na kanga
(Mashetani yamepanda mwacheni)
Eti alete michezo ya wanga

And the good work has been
Done by Kapipo

(The Mix Killer)

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button