New Lyrics

Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame lyrics

Nandy Ft Harmonize - Acha Lizame lyrics
Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame lyrics

Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame lyrics Nirusuru chuku chuku

Ni sasa umole

Mi naning’inia

Kwa marati nipopoe

Niruchu nipe tena baba niue

Mi nakuzimia

Usizingue unisumbue wewe

Mapenzi yetu

Ni ya mimi na wewe tu

Usiskize watu

Wananyongwa mbaya

Basi nifanyie kitu na boxy

Usiku nipe shoti

Ama ishike magoti

Nilemshe mkomboti

Ooh ah mi mwenzako imeshanikolea

My baby boy

Ooh ukienda zako mi nitanyong’onyea

Ooh ah mi mwenzako imeshanikolea

My baby boy

Ooh ukienda zako mi nitanyong’onyea

Acha lizame

Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea

Acha jua lizame

Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea

Acha lizame

Unapenda vya giza giza kama ujanizoea

Acha jua lizame eeh

Mama unafanya tembo

Kutwa nadindisha mkonga

We ndo kiboko ya warembo

Wale wanaojipitisha kitonga

Penye dhiki na shuruba

Mikeko ndo ulinikumbata

Piki piki upande Ubber

Popote nilipo ukanifwata

Lakini bado wananiita mzugaji, nilingojea

Usingizi hata yako mahitaji, nilingojea

Sina biashara mtaji, nilingojea

Ulisema mola ndo mpaaji, nilingojea

Ooooh bana nipande tumwage mbolea

Baby oh uh oh ah

Ukitaka tena tutaendelea

Oh oh ooh

shamba mwaga maji nimwage mbolea

My baby oh uh oh ah

Ukitaka tena tutaendelea

Acha lizame

Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea

Acha jua lizame

Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea

Acha lizame

Unapenda vya giza giza kama ujanizoea

Acha jua lizame eeh

Whine nimekuuliza

Bora ningejitengea oh nana

Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea

Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea

Unapenda vya giza giza kama ujanizoea

Asa whine nimekuuliza

Bora ningejitengea Konde Boy

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button