New Lyrics

Nonini Ft Levis Brown – Watoto Wa Mungu Lyrics

Nonini Ft Levis Brown - Watoto Wa Mungu Lyrics
Nonini Ft Levis Brown – Watoto Wa Mungu Lyrics

Nonini Ft Levis Brown – Watoto Wa Mungu Lyrics. Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo
Nisikize nikueleze
Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo

Sisi ni watoto wa Mungu eh eh
Tusilete kizunguzungu eh eh
Sisi ni watoto wa Mungu
So fresh so clean
So fresh so clean
Sisi ni watoto wa Mungu

Tuko huku ile fresh ile clean
Fresh ile funny mr bean
Sound kama sunday morning
Wale watiaji siwaoni

God ametupa nguvu yaani
Ile poa kila day naweza kujitoa
Mizuka kwenye ngoma ni noma
Namba moja kwenye board wanaisoma

Private kama inbox
Moja kama mguu kwenye socks
Nafeel kama ile jina boss
Si tunazidi profit wanazidi loss

Ah mzeiya si movie ni real
Kwenye round table please leta deal
Smooth kama nyanya tunafanya
Naweka ukweli pale walidanganya

Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo
Nisikize nikueleze
Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo

Sisi ni watoto wa Mungu eh eh
Tusilete kizunguzungu eh eh
Sisi ni watoto wa Mungu
So fresh so clean
So fresh so clean
Sisi ni watoto wa Mungu

Levis Brown
Karibu taratibu tujirushe now
Jaribu kuharibu tukupige bao
Kuwa humble sijafunzwa kuogopa
Nala kwa jasho sina tabia za kukopa

Karibu maisha VIP deal tele
Ndo maana mi hela tele aah
Mapoz taza inatoka mbe mbele
Wenye roho mbaya ni sisi

Twala mafresh mifupa wape mafisi
Toka mitaa manyumba na maofisi
Huwezi kataa sisi ni wanajihisi
Tulijikwaa wakasema kaanguka
Juu ya jukwaa mapini yanaanguka
Masista duu machupi zinawavuka
Hapa ni kazi si masihara
Utachezea kazi au mshahara

Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo
Nisikize nikueleze
Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo

Sisi ni watoto wa Mungu eh eh
Tusilete kizunguzungu eh eh
Sisi ni watoto wa Mungu
So fresh so clean
So fresh so clean
Sisi ni watoto wa Mungu

Been there done that
Respect sisi ndo tunaishi
Yeah kill — that
Tunawamaliza tu na ubishi
Kunona ni chicken kitchen
Nakwandalia tu na upishi

Huwezi kaa kwa tumbo oh
Nakutapika tu ka tapishi
Atleast vile mwanaume tu hukuwa
Kila kitu unapaswa kujua

Kila kitu si tumeshagundua
Nairobi mji wa wizi tunatenda
Matenderpreneur tu wanajijenga
Round tunakwenda round kama tour
Boss cheki vile navong’aa boss
Boss vile navo paa, paa boss

Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo
Nisikize nikueleze
Nimejijenga kwa uchungu
Nimejijenga na upendo

Sisi ni watoto wa Mungu eh eh
Tusilete kizunguzungu eh eh
Sisi ni watoto wa Mungu
So fresh so clean
So fresh so clean
Sisi ni watoto wa Mungu

Busiswa Ft Kamo Mphela – SBWL Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button