New Lyrics

Radical Ft David Wonder – Salama Lyrics

Radical Ft David Wonder - Salama Lyrics
Radical Ft David Wonder – Salama Lyrics

Radical Ft David Wonder – Salama Lyrics. Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Umeondoa aibu, aibu
Ukaondoa dharau masaibu, masaibu
Na sina tena wa kumwambia
Kile roho inapitia baba
Nitakuishia forever
For you Lord

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Kuna time mi nakosa
Lakini hujawahi comoplain
Hujawahi nitoka
Hujawahi ninunia

Kama kuna kitu iko ndani ya pain
Ifanye neno yako iende chain chain
Ndani yako hakuna compe
We baba unanitosha

Sioni nikienda kando na
Hata kama iwe mambo na
Mwanadamu atangoja, haiya
Atangoja sana

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Niko salama
Niko salama

Diamond Platnumz Ft Koffi Olomide – Waah! Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button