New Lyrics

Sudi Boy x Dj Deklack x Exray x Zerro Sufuri – Haina Kwere Lyrics

Sudi Boy x Dj Deklack x Exray x Zerro Sufuri - Haina Kwere Lyrics
Sudi Boy x Dj Deklack x Exray x Zerro Sufuri – Haina Kwere Lyrics

Sudi Boy x Dj Deklack x Exray x Zerro Sufuri – Haina Kwere Lyrics Dj Deklcak
Zum zum zum zum, aah
(Sadafah)

Ni Zzero kama sos mi ndio sos
Mi ndio boss, mi ndio

Ulila dede, machero
Ganda kaa la shwari bebe
Oh dede usinicheue
Ataka la flari hadai sembe

Oh baby niko full
Kwanza nishafunga mkanda
Tayari kupambana

Nitakesha usiku mchana
Nikumiliki bwana
Nikikosa tumuombe sana ye Jalali
Tukitoka kapa we
Tumuombe sana ye Jalali

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

Exray
Kama unasema ati mtoto wa balaa
Wa kutanga, atakufanya wewe chizi
Maskele ni ngala ngala
Huyu girla, atakufanya uwe mwizi

Wa kizungu siwezi
Aki ya Mungu she just stole my heart
Nina nguvu kishenzi
Aki ndugu, all I got is us

Bad boys like you
I need a bad boy like you, you
Bad girl like you
I need a bad girl like you, you

Mama mia sijai fika Karatina
No kwenyu near, nakunywaga Muratina
Gosh mafitina ng’oka mushina
Sina bima, njoo kwangu dinner

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

Cheki tukichuna hata usiseme
Nishike ka kajaba
Alafu unifanye nisikuteme
Wako nifanye na upende
Taja kila mahali unadai si twende

Najua ni dem machali wote wadai kudate
Najua kuonyesha Dv anaweza relate
Usihesitate ukiwa na mimi we tinga gate
Debate itabaki kwani morio aliku-illuminate

I’mma a badboy round ingine natinga
Ju ya ku-sign macheck sana
Huskii nilishakatinga
Mi hubuy mandula ndula na doh za zimenishika
Na bado maplatnumz waanze kuniconfuse na simba
Yeah yeah

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

Dj Deklack

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button